h. Spika wewe pambana nao Bungeni nami nitawashughulikia nje ya Bunge. ~JOHN POMBE MAGUFULI
BAADA YA KUPIGWA RISASI MH. LISSU, ANAANDIKA KATIKA TWEETER YAKE.
Nimepokea kwa masikitiko tukio la kupigwa risasi Mh.Tundu Lissu, namuombea kwa Mwenyezi Mungu aweze kupona haraka.
Aidha, vyombo vya dola viwasake wale wote waliohusika na tukio hili la kinyama na kuwafikisha ktk mikono ya sheria. ~JOHN POMBE MAGUFULI.
No comments:
Post a Comment